Search This Blog

Wednesday, March 16, 2011

BABY MADAHA KAENDA KUTIBIWA KWA BABU LOLIONDO!!!

Baby madaha alienda loliondo na amekunywa kikombe cha babu "nawasahauri wenzangu wenye matatizo muende, maana huyu babu ni mtanzania na sio kwamba eti ni ukimwi tu hapana, ukiwa na kisukari, pressure na kadhalika utaweza kutibiwa" amesema baby madaha

No comments:

Post a Comment

Idadi ya Watu waliotembelea Blog hii