Search This Blog

Wednesday, March 16, 2011

MGONJWA HUYU KAPONA UKIMWI KWA BABU LOLIONDO!!!

 Mgonjwa wa kwanza kutibiwa na Mchungaji, akijulikana kwa jina la Wilia John Lnngume (30) anayedai kupona ukimwi baada ya kunywa dawa hiyo

DAKTARI Joachiam Mbosha wa Hospitali Teule ya Wilaya ya Ngorongoro ya Wasso, amethibitisha kuwa mmoja wa wagonjwa wa Ukimwi aliyekwenda kutibiwa kwa Mchungaji Ambilikile Mwasapile, maarufu kwa jina la 'Babu', huko Samunge, Loliondo amepona Ukimwi.


No comments:

Post a Comment

Idadi ya Watu waliotembelea Blog hii