Search This Blog

Tuesday, February 22, 2011

THIN LINE BETWEEN LOVE AND HATE


baada ya kufunguka kwa uwazi kupitia kipindi fulani cha radio fulani tz jaffarai ameendelea kufunguka kupitia ukurasa wa facebook
"nimeachana na shyrose bhanji (kicheche mzee) baada ya kugundua km anatoka kimapenzi na mr 2... ni aibu sana kwa mwanamke mwenye miaka 42 kua kicheche kiac hicho!!!! nilitegemea mtu km mr 2 angeanza kufanya harakati ktk mziki wetu lkn harakati zake zimehamia kwenya mapenzi na madem wa wasanii wenzake... ni aibu kubwa sana".

No comments:

Post a Comment

Idadi ya Watu waliotembelea Blog hii