Search This Blog

Tuesday, April 12, 2011

MSWADA WA KATIBA WACHOMWA MOTO ZENJI!

 Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Zanzibar, Hamad Mussa Yussuf , akichoma moto mswada wa sheria ya kuanzisha Tume ya kurekebisha Katiba Tanzania leo wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Kibandamaiti mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Idadi ya Watu waliotembelea Blog hii