Search This Blog

Tuesday, April 12, 2011

ACHOMWA MOTO BAADA YA KUIBA VITI HUKO MBEYA

Mtuhumiwa akipigwa mawe na wananchi wenye asira kali jijini mbeya
hapa ni mbele ya vidhibiti hakiwa hajielewi katikati ya tairi tayari kwa kuchomwa moto!
 
yale aliyokuwa akiyatafuta kwa njia isiyo ya halali ndiyo yanaishia hapa! masikini kijana!


No comments:

Post a Comment

Idadi ya Watu waliotembelea Blog hii