Search This Blog

Monday, April 11, 2011

BILIONEA MMAREKANI STAN KROENKE AINUNUA ARSENAL LEO

Bilionea huyu ameinunua club ya arsenal leo kwa pauni 731 katika dili lililokamilishwa jijini London. Habari zinasema kuwa wapenzi wa club hiyo wamefurahi sana kwani wanja la Emirates sasa lapata mtu wa uhakika ambapo kabla ya kununua club hiyo ndiye aliyekuwa akishika hisa nyingi katika club hiyo 

No comments:

Post a Comment

Idadi ya Watu waliotembelea Blog hii