Search This Blog

Thursday, April 14, 2011

Airtel yazidi kuhimarisha mawasiliano vijijini! na sasa nizamu ya SAMUNGE- LOLIONDO kwa babu!!

Mchungaji Mstaafu Ambilikile Mwasapile akipokea zawadi ya simu ya Mkononi kutoka Airtel, anayemkabidhi ni meneja wa biashara wa Airtel Mkoa wa Arusha, Paschal Bikomagu. Kulia ni Mkuu wa Wilaya ya Ngorongoro, Bw Elias Wawa Lali.

No comments:

Post a Comment

Idadi ya Watu waliotembelea Blog hii